Home Of Smart Phones • Dar Es Salaam Tz

Ukiwaza Kununua Simu
Waza Simu Jijii

Simu bora za kisasa kwa bei nafuu. Tunatoa huduma ya mkopo wa simu — nunua simu leo, lipa kidogo kidogo kwa siku/wiki/mwezi.Pia unaweza kununua simu na kuilipia ndani ya miezi miwili bila Riba.

SAMSUNG TECNO INFINIX ITEL
Simu Jijii
Samsung Galaxy
Zinapatikana kwa mkopo
Tecno
Zinapatikana kwa mkopo
InfiniX
Zinapatikana kwa mkopo
itel
Zinapatikana kwa mkopo
500+
Wateja Wanaoridhika
13+
Mikoa Tanzania
4 hadi 12
Miezi ya Mkopo
24/7
Huduma ya Mteja

Simu Zetu Maarufu

Tunauza simu mpya za kisasa. Simu zote zina dhamana ya mtengenezaji. Mkopo unapatikana kwa simu zote.

Samsung Galaxy A07
Samsung
Galaxy A07
4GB RAM · 64GB · 5000mAh
TSh 333,000Cash/Mkopo/Wekeza
Samsung Galaxy A17
Samsung
Galaxy A17
6GB RAM · 128GB · 5000mAh
TSh 480,000Cash/Mkopo/Wekeza
Tecno Spark 40
Tecno
Spark 40
8GB RAM · 256GB · 5000mAh
TSh 404,000Cash/Mkopo/Wekeza
Tecno Spark 40
Tecno
POP 10
4GB RAM · 64GB · 5000mAh
TSh 286,000Cash/Mkopo/Wekeza
Infinix Hot 60i
Infinix
Hot 60i
8GB RAM · 128GB · 5000mAh
TSh 425,000Cash/Mkopo/Wekeza
Infinix SMART 10HD
Infinix
SMART 10HD
4GB RAM · 64GB · 5000mAh
TSh 279,000Cash/Mkopo/Wekeza
itel A50C
itel
A50C
3GB RAM · 64GB · 4000mAh
TSh 160,000Cash/Mkopo/Wekeza
itel A50
itel
A50
3GB RAM · 64GB · 5000mAh
TSh 200,000Cash/Mkopo/Wekeza

Simu Tunazokopesha

Unahitaji simu lakini pesa hauna? Hakuna shida! Wekeza kwa miezi miwili AU Kopa simu sasa , lipa kidogo kidogo kwa siku/wiki/miezi.

BrandMkopo (Miezi)Wekeza(Installment)
SamsungMiezi 6 – 12Mwezi 1 – 2
TecnoMiezi 4 – 9Mwezi 1 – 2
InfinixMiezi 4 – 9Mwezi 1 – 2
itelMiezi 4 – 9Mwezi 1 – 2
Mahitaji Ya Mkopo
Kianzio kidogo cha pesa (Down payment)
Kitambulisho cha NIDA au namba ya NIDA
Mpiga kura au Leseni ya udereva
Mdhamini (mtoa dhamana)

Tunafikia Tanzania Yote

Simu Jijii inahudumia mikoa mingi Tanzania Bara. Popote ulipo, tunaweza kukupelekea simu yako au unaweza kuwasiliana nasi kwa mkopo wa simu.

Location
Mikoa 13 Tanzania

Tunaendelea kupanua huduma zetu kwa mikoa zaidi. Wasiliana nasi kujua kama eneo lako linahudumika.

Location
Dar es Salaam
Mkoa Mkubwa
Location
Mwanza
Ziwa Victoria
Location
Mara
Kaskazini Mashariki
Location
Mtwara
Kusini Mashariki
Location
Njombe
Nyanda za Juu Kusini
Location
Dodoma
Makao Makuu
Location
Mbeya
Nyanda za Juu Kusini
Location
Kigoma
Ziwa Tanganyika
Location
Morogoro
Mashariki ya Kati
Location
Tunduma
Mpaka wa Zambia
Location
Geita
Ziwa Victoria
Location
Shinyanga
Kanda ya Ziwa
Location
Ruvuma
Kusini mwa Tanzania
Mkoa wako haupo kwenye orodha? Usiwe na wasiwasi! Wasiliana nasi moja kwa moja — tunajaribu kukufikia popote Tanzania. Piga simu au tuma ujumbe na tutakusaidia.

Brands Zinazotambulika

Tunauza simu za genuine zenye dhamana ya mtengenezaji.

SAMSUNG
TECNO
INFINIX
ITEL

Tuko Hapa Kusaidia

Je, una swali kuhusu simu au mkopo? Wasiliana nasi leo. Tuko hapa kukusaidia kupata simu unayotaka kwa bei nzuri katika mkoa wako.

Makao MakuuDar Es Salaam , Tanzania
Simu+255 684 855 094
MaeneoMikoa 13 Tanzania Bara
Masaa Ya KaziJumapili – Ijumaa: 08am – 10pm

Acha Ujumbe

✅ Asante! Tutawasiliana nawe hivi karibuni.
WhatsApp